Tuesday 2 October 2012

Dar Express Lililokuwa Likitokea Arusha Kwenda Dar Es Salaam La Waka Moto.


Habari zilizotufikia muda mfupi uliopita zinasema watu 65 wamenusurika kufa eneo la Segera Mkoani Tanga baada ya basi la Dar Express lililokuwa likitokea Arusha kwenda Dar Es Salaam kuteketezwa na Moto. Picha kwa Hisani ya Jamii Forums

No comments: