Aliyekuwa mgombea wa uraisi kwa mwavuli wa UKAWA ndugu Edward Lowasa akichunga ng'ombe zake huko Handeni mkoani Tanga. Lowassa yuko mapumzikoni na familia yake katika shamba lake la mifugo lililopo eneo la Mzeri,Handeni mkoani Tanga
Post a Comment
No comments:
Post a Comment