Friday 25 December 2015

Picha: Lowassa Aanza Kuchunga Ng'ombe Kama Alivyoahidi

Aliyekuwa mgombea wa uraisi kwa mwavuli wa UKAWA ndugu Edward Lowasa  akichunga ng'ombe zake huko Handeni mkoani Tanga. 
  
Lowassa yuko mapumzikoni na familia yake katika shamba lake la mifugo lililopo eneo la Mzeri,Handeni mkoani Tanga


No comments: