Amiri
Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama na Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa ameongozana na
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Davis Mwamunyange pamoja
na Wakuu Wengine wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama akiwemo Kamishna
Jenerali wa Magereza, John Casmir Minja alipokuwa akitembelea sehemu
walipozikwa Mashujaa wa Vita vya Kagera leo Julai 25, 2013 katika Kikosi
cha Jeshi cha Kaboya, Mkoani Kagera(Picha na Lucas Mboje wa Jeshi la
Magereza).
No comments:
Post a Comment