MENEJA WA UWANJA NDUGU KASILATI MWAKIBETE AKIZUNGUMZA JAMBO JUU YA MAANDALIZI YA NANE NANE
| KATIBU WA TASO KANDA ZA NYANDA ZA JUU KUSINI NDUGU RAMADHANI KIBOKO AKITOA UFAFANUZI WA KINA JUU YA MASWALA NA MAANDALIZI YA NANE NANE MWAKA HUU. |
| MWANDISHI WA HABARI EZEKIEL KAMANGA AKIULIZA MASWALI |
| BAADHI YA WAANDISHI WA HABARI WAKIFUATILIA KWA MAKINI KIKAO AMBACHO KILIKUWA KINAZUNGUMZIA JUU YA MAANDALIZI YA NANE NANE KWA MWAKA HUU 2013 |
KATIBU TAWALA WA MKOA WA MBEYA MARIAMU MTUNGUJA AKIANDIKA MASWALA AMBAYO YALIKUWA YANAONGELEWA KATIKA KIKAO HICHO
BAADHI YA WAJUMBE WAKIWA WANAFUATILIA KIKAO
| MEYA WA JIJI LA MBEYA ATANAS KAPUNGA AKICHANGIA KATIKA KIKAO HICHO |
BAADHI YA VIONGOZI WA MIKOA NA WILAYA WAKITEMBELEA MABANDA YAO KWA AJILI YA MAANDALIZI.
KAZI ZIKIWA ZINAENDELEA KATIKA MAANDALIZI YA NANE NANE
| BAADHI YA MAENEO MBALIMBALI YAKIWA YANAANDALIWA KWA AJILI YA NANE NANE |
No comments:
Post a Comment