Thursday, 15 August 2013

MWANAFUNZI AVUNJWA KIUNO NA MWALIMU WAKE KWA KUCHAPWA VIBOKO MKOANI KIGOMA



Hizi ni picha  za  mtoto  Isumaili  Joseph  anaesadikika kutendewa kitendo cha kinyama kwa  kupigwa viboko kiunoni  na mwalimu wake  Mr. Nguige Joseph  Rukasi.

Tukio hilo lilitokea tangu tarehe    11/2/2013 katika  shule ya msingi  Maendeleo Sunuka katika  halmashauri  ya wilaya ya uvinza  mkoa wa Kigoma. 

Mtoto huyu tangu mwezi  wa  2-8/2013  hawezi kukaa wala kuamka  kwa kipindi chote analalia tumbo!
(Picha na habari na Sharon Mashanya wa kalulunga blog)

No comments: