Tuesday 20 August 2013

Ukatili huu utaisha lini?


KUCHOMWAMOTOSONGEA 64665
Fikiri Hausi mwanafunzi wa darasa la tatu katika shule ya msingi ya majengo manispaa ya Songea akiwa amelazwa Hospitali ya mkoa baada ya kuunguzwa na mama yake. Jeshi la polisi lina endelea kumtafuta mama wa mtoto huyo(Picha: Songea habari)
MKONOULIOUNGUZWA bb7f1
huu ni mkono wa Fikiri akiwa hospitali kwa matibabu

No comments: