Wednesday 6 July 2016

TANGAZO TANGAZO TANGAZO

Digital Technical College of Tanzania (DTCT) kilichosajiliwa na NACTE kwa namba REG/BTP/071P kinatangaza nafasi za masomo kwa mwaka 2016/2017.

1. Certificate in Journalism (Mwaka 1)

2. Diploma in Journalism (Miaka 2)

3. Computer Applications (Miezi 2)

4. Hotel Management (Miezi 6)

* Sehemu ya field utatafutiwa na chuo.

* Wanafunzi wote wa kozi ya Journalism watafanyakazi katika shirika lisilo la kiserikali (NGO) la DMediaCoD.

* Kozi ya ufundi mitambo ya radio itatolewa bure kwa wanafunzi wa journalism.

*Kampuni ya BROADCAST TECHNOLOGY LIMITED itawatafutia kazi wanafunzi wote wanaofanya vizuri.

* Masomo yanaanza tarehe 09/08/2016, usajili mwisho tarehe 25/07/2016.

* Tupo Nanenane Mbeya kwa mawasiliano:- +255 765705781

No comments: