Saturday 17 March 2018

KIMBIA MPENZI TUTAKUTANA MBELE KWA MBELE!!(Sehemu ya 7)


                                                    (the first run away love to told by Deogratius gift kipapa.)
EPISODI 07
INTRO:
Simulizi ya msichana wa shule aliyelazimika kumtorosha mpenzi wake mbali na baba yake pamoja na serikali mara baada ya kumpa ujauzito. Kamwe hakufikiri kwamba kumruhusu akimbie ni kuliruhusu penzi lake lipotelee mbali milele.  Simulizi hii, haitakuonyesha ni jinsi gani ilivyo kutengana na mpenzi wako pekee bali pia itakushangaza zaidi na uhusiano wa baba na mwana ambao kamwe hukuwahi kuuvutia picha, kuna machozi, na jasho, mbio na kuvuta pumzi, kama ulisoma simulizi yoyote ya mapenzi kutoka kwa gift kipapa na kuhakikishia ya kwamba haujasoma kitu. This is not just a heart to heart story but I run away love which no one could never ever found.
ILIPOISHIA EPISODI 6….
“ndio lala mwanangu.”
Alimjibu mama yake.
“sawa kitanda kiko wapi?”
Aliuliza.
“lala hivyo hivyo bwana mi nimechoka .”
Aliongea mama huyo kwa ukali , sauti hiyo ilimtisha mwanae na kumfanya aanze kulia , kichwani mwake alifikiri mama yake atampiga muda huo huo.
“basi baba basi , nyamaza mwanangu.”
Aliongea mama huyo huku akimbembeleza mwanae mpaka akatulia. Wakati aliwaangalia kisha akaamuakugeukia upande wa dirishani , ambapo alijikuta amechukuliwa na usingi8zi dakika chache tu baada ya kufumba macho.
***
MWENDELEZO WAKE:
Alipofika mbeya mjini ilimbidi kulala ndani ya basi ili kuisubiri safari itakayofanyika alfajiri ya siku inayofuta basi hilo lililoandikwa KILIMANJARO ubavuni mwake lilikuwa na watu wengine wasiopungua ishirini ambao nao pia walitarajia kufanya safari aflajiri hiyo.
E11 ndio kiti ambacho wakati alikuwa amekalia, kililikuwa ni kiti cha dirishani , alichagua kiti hicho ili awe anaona mazingira basi likiwa safarini.
“mama, mama ,mbona basi aliendi?”
Aliomngea mtoto mmoja aliyekuwa amekaa na mma yake kicha pembeni ya wakati .
“litaenda tu mwanangu subiri kwanza tukiamka.”
Aliongea mama wa mtoto huyo.
“nilale?”
Aliuliza mtoto huyo.
“ndio lala mwanangu.”
Alimjibu mama yake.
“sawa kitanda kiko wapi?”
Aliuliza.
“lala hivyo hivyo bwana mi nimechoka .”
Aliongea mama huyo kwa ukali , sauti hiyo ilimtisha mwanae na kumfanya aanze kulia , kichwani mwake alifikiri mama yake atampiga muda huo huo.
“basi baba basi , nyamaza mwanangu.”
Aliongea mama huyo huku akimbembeleza mwanae mpaka akatulia. Wakati aliwaangalia kisha akaamuakugeukia upande wa dirishani , ambapo alijikuta amechukuliwa na usingi8zi dakika chache tu baada ya kufumba macho.
***
Unamtetea unajua alichokifanya.”
Aliongea mama yake pendo kwa ukali huku akihema mara baada ya mr.fanuel kumvuta pendo kutoka mikononi mwake.
“hata kama angefanya nini huwezi kumpiga mwanangu kiasi hiki, mtoto mwenyewe mmoja alafu unataka umuweke mialama alama.”
Aliongea mr. fanuel kwa ukali.
“unaenda wapi chukua barua yako huku.”
Aliongea mama yake pendo , huku akimshika shati alipotaka kuondoka na pendo.
“niache nikambembeleze mwanangu huko.”
Aliongea kwa ukali na kupokonyoa shati lake kwenye mikono ya mkewe.
“nyamaza mwanangu.”
Aliongea mr.fanuel huku akimpiga piga pendo mgongoni.
“kwa taarifa yako ana mimba huyo.”
Aliongea mama yake pendo, kauli iliyoingia moja kwa moja kwenye moyo wa mr.fanuel , aliacha kufanya kile alichokuwa anafanya na kisha ukimya ukatanda ghafla kati yao, hata zile kwikwi zilizokuwa zikisikika pendo alipokuwa analia zilikatika ghafla.
Pale mr.fanuel alipogeuka kumuangalia pendo usoni macho yao hayakugongana tena, pendo hakuweza kunyanyua kichwa chake lakini hili kofi zito kutoka kwa baba yake lilibadilisha kila kitu, alipepesuka na kudondoka chini huku akiwa haamini kwamba kofi zito kama hilo lilitoka kwa baba yake , alijaribu kumuangalia usoni na kwa kufanya hivyo ndio alijikuta anaogopa zaidi , hakukutana na lile tabasamu alilozoea kukutana nalo kila siku, huu uso haukuwa uso wa baba yake , labda mwingine mwili mzima wa pendo ulikuwa ukitetemeka ni kama vile anakwenda kufa.
“ni nani aliyefanya haya?”
Aliuliza mr. fanuel kwa sauti nzito iliyomtetemesha pendo kupita kiasi , alitamani ardhi ipasuke ili atumbukie kwenye bonde la  ufa litakalojitokeza na kupotelea huko.
Honi  za magari zilisikika na kumfanya kwa fujo na kumfanya Wakati azinduke toka kwenye usingizi mzito uliokuwa umemchukua.
“kumekucha!”
Aliongea kwa mshangao mara baada ya kuona mwanga uliokuwa umetanda angani huku pirika pirika za watu katika stendi hiyo zikiwa zimesha anza.
Ilikuwa aibu yeye peke yake ndio alikuwa amelala hadi wakati huo, kila mtu alikuwa macho na basi lilikuwa limekwishajaa .
Injini ilikuwa imewashwa na dereva alikuwa tayari kuliondosha basi hilo muda wowote.
“mamaaa, maamama , gari linaondoka.”
Aliongea mtoto huyo mara baada ya gari hilo kuanza safari.
“tulia wewe.’
Aliongea mama yake kwa ukali.
Basi hilo lilikuwa limefikia geti la kutokea katika stendi hiyo.
Maana yake safari ya kuuaga mji wa mbeya ndio ilikuwa inaanza rasmi, kila kitu kilikuwa kigeni kwa wakati ndani ya nusu saa , zile nyumba na makazi ya watu aliyoendelea aliyokuwa anayaona wakati basi hilo lilipo kuwa ndani ya mji wa mbeya vyote vilipotea ,  alichokiona kwa muda  huo yalikuwa nyumba moja moja zilizojitenga  na hii miti iliyokuwa kando ya bara bara iliyokuwa inarudi nyuma kwa kasi pamoja na milima na mambonde ambavyo vyote vilikuwa vikimshangaza kupita kiasi.
***
Itaendelea kesho, pia unaweza kusoma stori sehemu ya mbele ya stori hii zaidi ya episodi 50 zipo tayari, pia unaweza kujipatia vitabu vyetu vingine kwa bei ya nafuu, kuna ofa ya vitabu kwa whatsap na inbox fb, viwili sh 1700 vitatu sh 2400
vinne sh 3200 vitano sh 4000,kimoja sh 1000.
Stori zetu zingine ni hizi zifuatazo:
NOT YOU NOW book 1 – 24 , MTOTO WA MTAA BOOK 1 – 20, I WILL HUNT YOU DOWN 1&2, WHEN I  SAY I LOVE 1 – 9, KIMBIA MPENZI BOOK 1,2,3,4,5 NA 6.  YOU CAN’T MAKE ME A FOOL AGAIN, SISTAHILI KUFUNGWA, NAIPENDA TANZANIA.
BABA WA KAMBO book01,
CHANGUO NGUO book01,02,03
TEKETEKE TAMU BOOK 01,02
YES BOSS BOOK 1,2, ASMA KIDOTI book 1,2,3 MSICHANA NYUMBA YA PILI BOOK1,2, KOCHA WA TENESI BOOK1,2, PITISHA KWENYE  MPASUO, WEZELE,
TWAMTOA MWARI book 1,2,
MCHEPUKO WA MSHUA, KITAA FLANI, MSAGAJI,
TAXI BUBU,
MAMA WA KAMBO BOOK 1,2,
DEMU WA GEREJI, MZEE WA CHUMVINI,
NATAKA ZOTE,
NIPE UTAMU KAKA JAMBAZI,
zamu zamu, OPARESHENI MAPENZI BOOK 1,2 JIRANI NYAMA YA HAMU BOOOK 1,2,3,4,5,6,7 NJOO MAMA HAYUPO 1,2,3,4,5,6 NATAKA UNIFUATE KICHAKANI BOOK 1,2,3,4,5 AISHA CHA UTAMU BOOK 1,2,3,4,5 KIDOLE AKINITOSHI BOOK 1,2,3  BEKI TATU WA MTAA BOOK 1,2,3,4
THE AFRICAN SEX MASHINE BOOK 1,2,3,4,5 na 6 KARIBU KITAA TICHA BOOK 
1,2,3,4,5 , KWAYA MASTA BOOK 1 , 2, 3 na 4 WIFI NIPE UTAMU … KAKA HAYUPO BOOK 1,2&3,4,5,6,7 , SHUGA MUMY LA 
KISTASHA BOOK 1,2,3. MUUZA MAZIWA BOOK 1- 16 , TOTO LA KISHUA 1- 9 , SI UNA MATE NIMEKUSIA BOOK 1 – 5,HALO HALO 1-9 JIMAMA MTAA WA PILI 1 -8
Namba zinazotumika kwa ajili ya malipo ni mpesa 0757 414 436 , tigo pesa 0715 557 191 airtel money 0789117674
Namba zote zimesajiliwa kwa jina la Deogratius Lwasye

No comments: