Wednesday 23 July 2014

KWANINI ULIUMBWA KUWA MWANAMKE? JE UNATAMBUA SIFA ZAKO?


Kwanini uliumbwa? Na kwanini uliumbwa mwanamke?

Tambua kusudi la Mungu kukuumba mwanamke.

Kuna kipindi unazaliwa na hujui kwanini uko hivyo, lakini kuna wakati unajijua kuwa wewe ni mtoto,  lakini kuanzia miaka 13, unaanza kujitambua baada ya kuvunja ungo.

Baadae unajitambua kuwa unatakiwa kuolewa… ukiolewa ghafla unapata karaha ndani ya miaka miwili mitatu.

Wanawake wana sifa 20, ambazo moja wapo ni kutafuta pesa, kulisha watoto, kuzaa, …..

Ndoa tumezaliwa tumeikuta, lakini misingi ikiharibika ni shida kabisa….kunakuwa na roho za laana.

Mwanaume anaanza kukaa bar na kulewa sana kutokana na sababu zinazotokana na baadhi ya wanawake, mwanaume akiona mwanamke unamsumbua anahisi wanawake wote ndivyo walivyo, anaamua kunywa pombe kama liwazo lake.

Sababu hizo ni pamoja na uchafu , mdomo(gubu), kumfokea mumeo/mpenzio, zeekeni na utamu kama muwa.

No comments: