Thursday 11 July 2013

MOTO WATEKETEZA NYUMBA YOTE FOREST MPYA MBEYA.. HAKUNA KILICHO OKOLEWA


 Gari la zima moto likielekea eneo la tukio kwa kasi
 
 
 
Kikosi cha zima moto na uokoaji wakiwa katika juhudi za kuzima moto huo
Juhudi zikiendelea lakini  hakuna kilicho okolewa wala majeraha
 Nyumba ikizidi kuteketea
 Upande wa nyuma nao ukizidi kuteketea
 Jengo likiwa limeteketea kabisa
Baadhi ya majirani wakimpokea mama mwenye nyumba  baada ya kuitwa kutoka msibani
 Mashuhuda wakiangalia kwa uchungu mabaki ya jengo

 Moto ukiendelea baada ya gari la zima moto kuishiwa maji
 Moja kati ya Askari wa zima moto wakikata moja ya madirisha ili kuendelea na uzimaji wa moto huo
 Hakuna kilicho okolewa kama unavyo ona mabaki haya
 Mke mmiliki wa nyumba aliye tambuliwa kwa jina la Mama Mkisi akiwa anafarijiwa na majirani katika nyumba hiyo baada ya kupewa hifadhi


No comments: