Saturday 5 July 2014

SHEREHE ZA UZINDUZI WA RADIO USHINDI FM ZA FANA



Meneja Mathew Sasali wa radio ushindi radio akifungua sherehe za uzinduzi wa radio hiyo na kutambulisha wafanyakazi wa radio

Mwimbaji na mtangazaji wa radio ushindi Kelvin Nyorobi akitumbuza kwenye sherehe hiyo


Wasikilizaji wa Ushindi FM waliojitokeza kwenye uzinduzi

Marth Baraka akitumbwiza

Wafanyakazi wa Ushindi Fm

Mgeni rasmi Makamo wa askofu mkuu katika uzinduzi huo

Mgeni rasmi akikata utepe ishara ya kufungua radio hiyo

Makamo wa askofu na wachungaji wakiombea jiwe la msingi la radio ushindi

Wachungaji  wakiombea mnara wa kurushia matangazo wa radio ushindi

Mgeni rasmi akikagua studio na kupewa maelezo namna ya urushwaji wa matangazo unavyofanyika

JIWE LA MSINGI LA USHINDI FM

                                         PICHA NA HABARI TALK

No comments: