William
Henry Gates III maarufu kama Bill Gates na Mwanzilishi wa kampuni ya
Microsoft iliyomfanya kuwa mtu tajiri namba moja duniani na mwanzilishi
wa mashirika lukuki yasiyo ya kiserikali yenye kusaidia jamii yupo
nchini.
Jana
ametembelea kijiji cha Kicheba wilayani Muheza katika mkoa wa Tanga kwa
lengo la kuangalia maswala mbalimbali ya afya ikiwemo utumiaji wa dawa
za mabusha, matende ili kuangalia ni namna gani anaweza kusaidia kwenye
sekta hiyo ya Afya.
Mkuu
wa wilaya ya Muheza Mkoani Tanga, Mhandisi, Hajat Mwanasha Tumbo
(kushoto) akiwa na Bill Gatesbpamoja na mmoja wa viongozi wa kinamama wa
wilaya hiyo katika kata ya Kicheba Wilayani humo mkoani Tanga jana
Bill
Gates akiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa wilaya ya Muheza
akiwamo Mkuu wa Wilaya Mkuu wa wilaya ya Muheza Mkoani Tanga, Mhandisi,
Hajat Mwanasha Tumbo na Mbunge Mhe Adadi Rajabu (wa nne kulia) katika
kata ya Kicheba Wilayani humo mkoani Tanga jana
No comments:
Post a Comment