Thursday 14 February 2013

CHADEMA yawakumbuka wagonjwa siku ya wapendanao

Chama cha Demokrasia na Maendeleo 'CHADEMA' leo katika siku ya wapendanao ''Valentine's Day'' wameiadhimisha kwa kutembelea wagonjwa katika hospitali ya Mwananyamala ambayo iko katik Halmashauri ya Manisipaa ya Kinondoni. Matembezi hayo yaliongozwa na madiwani na viongozi wa jimbo na kata na matawi na wanachama wengine wa CHADEMA.

''Siku ya leo CHADEMA tumefanya usafi; kufagia, kufyeka, kukusanya takataka, kusikiliza changamoto zinazowakabiri wagonjwa na wauguzi, pia katika kuonyesha ishara ya upendo katika siku hii tumewaletea wagonjwa vitu mbalimbali ikiwemo mikate, juice, maji, sabuni nakadhalika.'' Alikaririwa mmoja wa makanda














No comments: