Thursday 14 August 2014

MMOJA AFARIKI KATIKA AJALI YA GARI LA MCHANGA LILILO PINDUKA NA KUPARAMIA UKUTA NYUMBA YA MTU .


 Lori la Mchanga linalomilikiwa na kampuni ya CCC ambalo namba zake hazikuonekana mara moja Muda mchache baada ya kupata ajali
 Dereva wa Gari hili aliye Tambulika kwa jina la Victor alifariki papo hapo.
 Mashuhuda wakishuhudia Ajali hiyo
 Gari hilo la Mchanga likiwa limeruka eneo hilo mpaka kuparamia ukuta na Kupinduka
 Utaratibu wa kulinyanyua Gari hilo unafanyika
 Hapo ndipo Gari hilo lililokuwa na Kifusi liliruka mpaka upande wa uzio wa nyumba na Kupinduka
 Kushoto ni Baadhi ya Wachina wafanyakazi wa Kampuni ya CCC


 Mmoja wa wafanyakazi akitoka kuangalia Ajali hiyo

No comments: