Thursday 28 April 2016

Mwili wa Papa Wemba wawasili DRC

Mamia ya watu wamekusanyika leonje ya uwanja wa ndege wa Kinshasa kuupokea mwili wa mwanamuziki Papa Wemba uliowasili nchini humo kutoka Abidjan

Mwanamuziki huyo ambaye ametajwa kuwa mmoja ya waanzilishi wa muziki wa kizazi kipya cha Soukous  alifariki dunia April 24 baada ya kuanguka jukwaani akiwa anatumbuiza huko Ivory Coast  

Papa Wemba anatarajiwa kuzikwa siku ya Jumanne  ya wiki ijayo

No comments: