Waziri
wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
ameahirisha mitihani ya kitaifa katika vyuo vya Afya nchini ambayo
ilitakiwa kufanyika Septemba 1 2017 kupisha sikukuu Eid Alhaj
Taarifa
iliyotolewa na Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini sekta ya Afya
inasema kuwa mitihani ambayo ilipaswa kufanyika siku ya Septemba 1,
2017 ndiyo itakayoahirishwa na kudai mitihani mingine itaendelea kama
kawaida.
No comments:
Post a Comment