Thursday, 12 October 2017

Mwanasoka nguli barani Africa George Weah ameshinda kwenye Uchaguzi wa urais chini Liberia.

Mwanasoka nguli barani Africa George Weah ameshinda kwenye Uchaguzi wa urais chini Liberia. George Weah anakuwa mrithi wa Rais Seleaf ambae ni Rais wa kwanza mwanamke barani Africa. Hii ni mara ya kwanza baada ya miaka 70 Liberia kubadilishana Uongozi kwa njia ya demokrasia.


No comments: