Thursday 28 February 2013

Hivi ndivyo Chadema walivyotikisa Mbeya jana



Mapokezi makubwa ya Mh. Freeman Mbowe katika viwanja vya Rwanda Nzovwe jijini Mbeya.



 Burudani mbalimbali pia zilikuwepo





 




Mh. Mbowe pia alimtaka waziri wa Elimu na mafunzo  ya ufundi kujiudhuru pamoja na naibu waziri wa wizara hiyo kutokana na matokeo mabaya ya kidato cha nne  na kusema kuwa katika siku 14 alizozitoa zimebaki siku tatu za wao kuendelea kuwepo madarakani na kuongeza kuwa wasipofanya hivyo wataitisha maandamano ya nchi nzima kushinikiza waondolewe katika nafasi hizo. Mara baada ya kauli hiyo Mbowe aliwataka wananchi kuchangia fedha kwaajili ya wahanga siku ya maandamano ambapo zilichangishwa fedha kiasi cha sh. 3, 267, 550/=



 

Wakichangisha fedha kwaajili ya wahanga wa maandamano yatakayofanyika pindi mawaziri wataposhindwa kujiudhuru picha ya kwanza ni Mh. Sirinde, inayofuata ni Mh. Msingwa na ya mwisho ni Mh. Mbowe.
 

Picha na Keny Pino

No comments: