Friday 18 April 2014

MAGARI MAWILI YAGONGANA ENEO LA MAFIATI MBEYA MUDA MCHACHE ULIOPITA.


Magari hayo muda mchache baada ya ajali kutokea
Hili ni eneo la Mafiati ambapo ajali hiyo imetokea
Gari aina ya Mazda baada ya kupata ajali
Gari hiyo ya Mazda baada ya kupata ajali ambayo imesababisha kufumuka kwa Airbag upande wa Mbele.
Gari aina ya Ipsum muda mchache baada ya kupata ajali.
 
PICHA NA MBEYA YETU

No comments: