Thursday 20 July 2017

Mpenzi wa Diamond, Zari The Bosslady afiwa na mama yake mzazi


SeeBait
Mama mzazi wa Zari The Boss Lady ambaye ni mpenzi na mzazi mwenza wa mwimbaji wa Bongofleva Diamond Platnumz amefariki dunia asubuhi hii baada ya kuumwa..

Mrembo huyo wa Diamond amethibitisha taaifa hizo kupitia picha ya mama yake huyo aliyoiweka Instagram na kuandika, “It’s with deep sorrow that my family and I announce the death of our lovely mother who passed on this morning. May her soul rest in peace, May Allah forgive you your sins and grant you Jana.”

“You will forever be loved our Old Sun, us as your kids were given the best from God as our mother. We appreciate all you did for us. We will forever cherish you Mama.Sleep well😢,” ameongeza.

Huu ni msiba mkubwa wa pili kwa Zari kutokea mwaka huu baada ya takribani miezi miwili iliyopita alifiwa na mzazi mwenzake Ivan Ssemwanga.

No comments: