Akizungumza na AZAM TV kwenye Taarifa ya Habari ya saa mbili usiku jana.
Spika mstaafu wa Bunge la Tanzania Pius Msekwa anasema itakuwa ngumu
sana kwa Bunge au Chama cha Mapinduzi kuongeza muda wa Rais kukaa
madarakani zaidi ya miaka 5 kwa awamu kama walivyokubaliana toka
zamani.Kasema hata wao Enzi zao walishajadiliana kuhusu hili na waliiona
tatizo litakuwa pale Nchi ikipata Rais mbaya kwani miaka zaidi ya 5 kwa
awamu italeta shida sana katika Nchi.
kwahiyo akashauri utaratibu wa miaka 5 angependa uendelee.
kwahiyo akashauri utaratibu wa miaka 5 angependa uendelee.
No comments:
Post a Comment